Muat turun APK Selamat & Cepat di APKPure
APKPure menggunakan pengesahan tandatangan untuk memastikan muat turun APK Kurani (Kiswahili - Kiingereza) tanpa virus untuk anda.
Quran Swahili / Inggeris. Al-Quran Swahili
Kurani ni kitabu kitukufu cha Uislamu ambacho kinatazamwa na Waislamu kama "Neno la Allah". Kitabu hicho kwao ni tofauti kabisa na maandiko ya dini nyingine kwa maana hicho kinaaminika kwamba kimeandikwa moja kwa moja na Mwenyezi Mungu, kupitia mtume wake wa mwisho, Muhammad.
Kadiri ya Qurani , Mungu alimuambia Muhammad: "Na namna hivi tumekufunulia Qurani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Makka na walio pembeni mwake"
Kurani imeandikwa na kusomwa kwa lugha ya Kiarabu pekee kwa zaidi ya miaka 1,400.
Satu klik untuk memasang fail XAPK/APK pada Android!