Kurani (Kiswahili - Kiingereza)

Quran and Bible
2021年10月10日
  • 13.0 MB

    文件大小

  • Android 4.2+

    Android OS

關於Kurani (Kiswahili - Kiingereza)

古蘭經斯瓦希里語 / 英語。古蘭經 斯瓦希里語

Kurani ni kitabu kitukufu cha Uislamu ambacho kinatazamwa na Waislamu kama "Neno la Allah". Kitabu hicho kwao ni tofauti kabisa na maandiko ya dini nyingine kwa maana hicho kinaaminika kwamba kimeandikwa moja kwa moja na Mwenyezi Mungu, kupitia mtume wake wa mwisho, Muhammad.

Kadiri ya Qurani , Mungu alimuambia Muhammad: "Na namna hivi tumekufunulia Qurani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Makka na walio pembeni mwake"

Kurani imeandikwa na kusomwa kwa lugha ya Kiarabu pekee kwa zaidi ya miaka 1,400.

更多收起

最新版本152.0的更新日誌

Last updated on 2021年10月10日
Minor bug fixes and improvements. Install or update to the newest version to check it out!

Kurani (Kiswahili - Kiingereza)歷史版本

在APKPure極速安全下載應用程式

一鍵安裝安卓XAPK/APK文件!

下載 APKPure