About Majina Mazuri Ya Allah
بسم الله الرحمن الرحيمMwenyezi Mungu katuamrisha tumuombe kwa majina Yake.....
بسم الله الرحمن الرحيم
Kwa Jina La Mwenyezi Mungu Mwingi Wa Rehema Mwenye Kurehemu
Mwenyezi Mungu S.W.T. katuamrisha sisi Waislamu katika Kitabu Chake, Qurani Tukufu, tumuombe kwa kutumia majina Yake. Kama alivyosema katika Suratil Israa aya ya 110, “
قُلْ ادْعُوا اللَّهَ أَوْ ادْعُوا الرَّحْمَانَ أَيًّا مَا تَدْعُوا فَلَهُ الأَسْمَاءُ الْحُسْنَى…
Maana yake, “Sema: “Mwombeni Allah (Mwenyezi Mungu), au mwombeni Rahman (Mwingi wa Rehema), kwa jina lolote mnalo mwita. Kwani Yeye ana majina mazuri mazuri…”
Pia Mwenyezi Mungu S.W.T. kasema katika Suratil A`araaf aya ya 180, “
وَلِلَّهِ الأَسْمَاءُ الْحُسْنَى فَادْعُوهُ بِهَا وَذَرُوا الَّذِينَ يُلْحِدُونَ فِي أَسْمَائِهِ…
Maana yake, “Na Mwenyezi Mungu ana majina mazuri mazuri; muombeni kwayo. Na waache wale wanaoharibu utakatifu wa majina Yake…”
What's new in the latest 1.0
Majina Mazuri Ya Allah APK Information
Old Versions of Majina Mazuri Ya Allah
Majina Mazuri Ya Allah 1.0

Super Fast and Safe Downloading via APKPure App
One-click to install XAPK/APK files on Android!