Informazioni su Biblia Takatifu ya Kiswahili
La Sacra Bibbia in Swahili - Swahili Bibbia
Biblia Takatifu ya Kiswahili - Swahili Bible
Biblia ya Kikristo ni mkusanyo wa maandiko matakatifu ya Ukristo. Maandiko hayo mbalimbali yanaitwa tangu zamani sana "vitabu" tu, inavyomaanishwa na neno "biblia" ambalo ni uwingi wa neno la Kigiriki "biblos" yaani "kitabu".
Hutofautishwa na Tanakh ambayo ndiyo maandiko matakatifu ya dini ya Uyahudi na ambayo pengine inatajwa kwa jina lilelile la "Biblia", hasa katika matoleo ya Biblia ya Kiebrania . Vitabu vyake vimo katika sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo kwa jina la "Agano la Kale".
Biblia ya Kikristo hugawiwa sehemu mbili ambayo ni Agano la Kale na Agano Jipya. Agano la Kale lina maandiko yaliyoandikwa kabla ya Yesu Kristo na vitabu vya Agano Jipya viliandikwa baada yake.
What's new in the latest 5.6.5
Informazioni sull'APK Biblia Takatifu ya Kiswahili
Vecchie versioni di Biblia Takatifu ya Kiswahili
Biblia Takatifu ya Kiswahili 5.6.5
Biblia Takatifu ya Kiswahili 5.5.2
Biblia Takatifu ya Kiswahili 5.5.1
Biblia Takatifu ya Kiswahili 5.1.0

Download super veloce e sicuro tramite l'app APKPure
Basta un clic per installare i file XAPK/APK su Android!